Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 3:29 - Swahili Revised Union Version

29 bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele.” (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele.” (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele.” (

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu wa Mungu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Lakini yeyote anayemkufuru Roho wa Mwenyezi Mungu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele,

Tazama sura Nakili




Marko 3:29
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.


Na tazama, baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru.


ambao hula nyumba za wajane, na kwa unafiki husali sala ndefu; hawa watapata hukumu iliyo kubwa.


kwa vile walivyosema, Ana pepo mchafu.


Na kila mtu atakayenena neno juu ya Mwana wa Mtu atasamehewa, bali aliyemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.


watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele, kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa nguvu zake;


ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.


Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kandokando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo