Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 3:12 - Swahili Revised Union Version

Akawakataza sana, wasimdhihirishe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini aliwaonya wasiwaambie wengine kumhusu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini aliwaonya wasimseme yeye ni nani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawakataza sana, wasimdhihirishe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 3:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

akawakataza wasimdhihirishe;


Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; ila nenda zako, ukajioneshe kwa kuhani, ukaitoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.


Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.


Nakutambua u nani, Mtakatifu wa Mungu. Yesu akamkemea, akisema, Fumba kinywa, umtoke.


Akaponya wengi waliokuwa na maradhi mbalimbali, akatoa pepo wengi, wala hakuwaacha pepo kunena, kwa sababu walimjua.


Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.