Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 16:11 - Swahili Revised Union Version

Lakini hao waliposikia kwamba yu hai, naye amemwona, hawakuamini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini waliposikia kwamba Isa yu hai na kwamba Mariamu alikuwa amemwona, hawakusadiki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini waliposikia kwamba Isa yu hai na kwamba Maria alikuwa amemwona, hawakusadiki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini hao waliposikia kwamba yu hai, naye amemwona, hawakuamini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 16:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kama ningemwita, naye akaniitikia; Hata hivyo singeamini kuwa amesikiza sauti yangu.


Musa akawaambia wana wa Israeli maneno haya; lakini hawakumsikiliza Musa kwa ajili ya uchungu wa moyo, na kwa ajili ya utumwa mgumu.


Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao walikuwa na mashaka.


Akawajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, nikae nanyi hadi lini? Nichukuliane nanyi hadi lini? Mleteni kwangu.


hao waliwaambia mitume habari ya mambo hayo.


Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku wakistaajabu, aliwaambia, Mna chakula chochote hapa?


Basi wanafunzi wengine wakamwambia, Tumemwona Bwana. Akawaambia, Mimi nisipoziona mikononi mwake kovu za misumari, na kutia kidole changu katika mahali pa misumari, na kutia mkono wangu katika ubavu wake, mimi sisadiki hata kidogo.