Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 24:41 - Swahili Revised Union Version

41 Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku wakistaajabu, aliwaambia, Mna chakula chochote hapa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, na wakiwa wanastaajabu, akawauliza, “Mnacho chakula chochote hapa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, na wakiwa wanastaajabu, akawauliza, “Mnacho chakula chochote hapa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, na wakiwa wanastaajabu, akawauliza, “Mnacho chakula chochote hapa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

41 Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku wakistaajabu, aliwaambia, Mna chakula chochote hapa?

Tazama sura Nakili




Luka 24:41
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kama ningemwita, naye akaniitikia; Hata hivyo singeamini kuwa amesikiza sauti yangu.


Lakini hao waliposikia kwamba yu hai, naye amemwona, hawakuamini.


Na hao wakaenda zao wakawapa habari wale wengine; wala hao hawakuwaamini.


Baadaye akaonekana na wale kumi na mmoja walipokuwa wakila, akawakemea kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki wale waliomwona alipofufuka katika wafu.


Walikuwa na visamaki vichache; akavibariki, akasema wawagawie na hivyo pia.


hao waliwaambia mitume habari ya mambo hayo.


Na baada ya kusema hayo aliwaonesha mikono yake na miguu yake.


Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa.


Basi ninyi hivi sasa mna huzuni; lakini mimi nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleaye.


Basi Yesu akawaambia, Wanangu, mna kitoweo? Wakamjibu, La.


Alipoitambua sauti ya Petro, hakulifungua lango, kwa ajili ya furaha, bali alipiga mbio, akaingia ndani akawaambia kwamba Petro anasimama mbele ya lango.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo