Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:3 - Swahili Revised Union Version

Nao wakuu wa makuhani walikuwa wakimshitaki mambo mengi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Makuhani wakuu wakamshtaki Yesu mambo mengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Makuhani wakuu wakamshtaki Yesu mambo mengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Makuhani wakuu wakamshtaki Yesu mambo mengi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wakuu wa makuhani walikuwa wakimshitaki mambo mengi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, nimekuwa kama mtu asiyesikia, Ambaye hamna ubishi kinywani mwake.


Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.


Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.


Pilato akamwuliza, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajibu, akamwambia, Wewe wasema.


Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu neno? Tazama ni mambo mangapi wanayokushitaki!


Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.


Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari.