Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:18 - Swahili Revised Union Version

wakaanza kumsalimu, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakaanza kumsalimu, “Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakaanza kumsalimu, “Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakaanza kumsalimu, “Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakaanza kumsalimu, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia baba yake na ndugu zake; baba yake akamkemea akamwambia, Ni ndoto gani hii uliyoiota? Je! Mimi na mama yako na ndugu zako tutakuja tukusujudie mpaka chini?


Haya, twende, tukamwue na kumtupa katika shimo mojawapo, nasi tutasema, Mnyama mkali amemla; kisha tutaona zitakuwaje ndoto zake.


Wakasokota taji la miiba, wakaliweka juu ya kichwa chake, na mwanzi katika mkono wake wa kulia; wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki, wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!


Wakamvika vazi la rangi ya zambarau, wakasokota taji la miiba, wakamtia kichwani;


Wakampiga mwanzi wa kichwa, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudia.


Pilato akamwuliza, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajibu, akamwambia, Wewe wasema.


Wakawa wakimwendea, wakisema, Salamu! Mfalme wa Wayahudi! Wakampiga makofi.