Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:18 - Swahili Revised Union Version

18 wakaanza kumsalimu, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Wakaanza kumsalimu, “Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Wakaanza kumsalimu, “Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Wakaanza kumsalimu, “Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 wakaanza kumsalimu, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!

Tazama sura Nakili




Marko 15:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia baba yake na ndugu zake; baba yake akamkemea akamwambia, Ni ndoto gani hii uliyoiota? Je! Mimi na mama yako na ndugu zako tutakuja tukusujudie mpaka chini?


Haya, twende, tukamwue na kumtupa katika shimo mojawapo, nasi tutasema, Mnyama mkali amemla; kisha tutaona zitakuwaje ndoto zake.


Wakasokota taji la miiba, wakaliweka juu ya kichwa chake, na mwanzi katika mkono wake wa kulia; wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki, wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!


Wakamvika vazi la rangi ya zambarau, wakasokota taji la miiba, wakamtia kichwani;


Wakampiga mwanzi wa kichwa, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudia.


Pilato akamwuliza, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajibu, akamwambia, Wewe wasema.


Wakawa wakimwendea, wakisema, Salamu! Mfalme wa Wayahudi! Wakampiga makofi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo