Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:63 - Swahili Revised Union Version

Kuhani Mkuu akararua nguo zake, akisema, Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuhani mkuu akayararua mavazi yake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuhani mkuu akararua mavazi yake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuhani Mkuu akararua nguo zake, akisema, Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:63
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Eliakimu, mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna, mwandishi, na Yoa, mwana wa Asafu mwenye kuandika kumbukumbu, wakaenda kwa Hezekia, na nguo zao zikiwa zimeraruliwa, wakamwambia Hezekia maneno ya yule kamanda.


Na yeye aliye kuhani mkuu katika nduguze, ambaye mafuta ya kutiwa yamemiminwa kichwani mwake, naye akawekwa wakfu ili ayavae hayo mavazi, yeye hataziacha wazi nywele za kichwa chake, wala hatazirarua nguo zake;


Na Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwao walioipeleleza nchi, wakararua nguo zao;


Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake;