Marko 14:63 - Swahili Revised Union Version63 Kuhani Mkuu akararua nguo zake, akisema, Tuna haja gani tena ya mashahidi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema63 Hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND63 Hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza63 Hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu63 Kuhani mkuu akayararua mavazi yake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu63 Kuhani mkuu akararua mavazi yake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI63 Kuhani Mkuu akararua nguo zake, akisema, Tuna haja gani tena ya mashahidi? Tazama sura |