Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:63 - Swahili Revised Union Version

63 Kuhani Mkuu akararua nguo zake, akisema, Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

63 Hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

63 Hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

63 Hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

63 Kuhani mkuu akayararua mavazi yake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

63 Kuhani mkuu akararua mavazi yake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

63 Kuhani Mkuu akararua nguo zake, akisema, Tuna haja gani tena ya mashahidi?

Tazama sura Nakili




Marko 14:63
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Eliakimu, mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna, mwandishi, na Yoa, mwana wa Asafu mwenye kuandika kumbukumbu, wakaenda kwa Hezekia, na nguo zao zikiwa zimeraruliwa, wakamwambia Hezekia maneno ya yule kamanda.


Na yeye aliye kuhani mkuu katika nduguze, ambaye mafuta ya kutiwa yamemiminwa kichwani mwake, naye akawekwa wakfu ili ayavae hayo mavazi, yeye hataziacha wazi nywele za kichwa chake, wala hatazirarua nguo zake;


Na Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwao walioipeleleza nchi, wakararua nguo zao;


Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo