Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:46 - Swahili Revised Union Version

Wakanyosha mikono yao wakamkamata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale watu wakamkamata Isa, wakamweka chini ya ulinzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale watu wakamkamata Isa, wakamweka chini ya ulinzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakanyosha mikono yao wakamkamata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:46
6 Marejeleo ya Msalaba  

Pumzi ya mianzi ya pua zetu, masihi wa BWANA, Alikamatwa katika marima yao; Ambaye kwa habari zake tulisema, Chini ya kivuli chake tutakaa kati ya mataifa.


Basi alipokuja, mara akamwendea, akasema, Rabi, akambusu.


Na mmoja wao waliokuwapo akafuta upanga, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.


Basi wale askari na yule jemadari na wale watumishi wa Wayahudi walimkamata Yesu, wakamfunga.


mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulubisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua;


Wafilisti wakamkamata, wakamng'oa macho; wakateremka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.