Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:45 - Swahili Revised Union Version

Basi alipokuja, mara akamwendea, akasema, Rabi, akambusu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yuda alipofika tu, alimwendea Yesu moja kwa moja, akamwambia, “Mwalimu!” Kisha akambusu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yuda alipofika tu, alimwendea Yesu moja kwa moja, akamwambia, “Mwalimu!” Kisha akambusu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yuda alipofika tu, alimwendea Yesu moja kwa moja, akamwambia, “Mwalimu!” Kisha akambusu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara Yuda akamjia Isa na kusema, “Mwalimu.” Akambusu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara Yuda akamjia Isa na kusema, “Mwalimu.” Akambusu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi alipokuja, mara akamwendea, akasema, Rabi, akambusu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:45
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ng'ombe amjua bwana wake, Na punda ajua kibanda cha bwana wake; Bali Israeli hajui, watu wangu hawafikiri.


Mwana humheshimu baba yake, na mtumishi humcha bwana wake; basi, kama mimi ni baba yenu, heshima yangu iko wapi? Na kama mimi ni bwana wenu, kicho changu ki wapi? BWANA wa majeshi awauliza ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau jina langu. Nanyi mwasema, Tumelidharau jina lako kwa jinsi gani?


Hata walipofika walimwambia, Mwalimu, twajua ya kuwa wewe u mtu wa kweli, wala hujali cheo cha mtu; kwa maana hutazami sura za watu; lakini katika kweli waifundisha njia ya Mungu. Je! Ni halali kumpa Kaisari kodi au siyo?


Na yule anayemsaliti alikuwa amewapa ishara, akisema, Nitakayembusu, huyo ndiye; mkamateni na kumpeleka chini ya ulinzi.


Wakanyosha mikono yao wakamkamata.


Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, lakini hamyatendi nisemayo?


Yesu akamwambia, Mariamu. Yeye akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, Raboni! (Yaani, Mwalimu wangu).


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.