Luka 6:46 - Swahili Revised Union Version46 Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, lakini hamyatendi nisemayo? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 “Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 “Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 “Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 “Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 “Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI46 Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, lakini hamyatendi nisemayo? Tazama sura |