Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 6:46 - Swahili Revised Union Version

46 Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, lakini hamyatendi nisemayo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 “Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 “Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 “Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 “Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 “Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

46 Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, lakini hamyatendi nisemayo?

Tazama sura Nakili




Luka 6:46
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwana humheshimu baba yake, na mtumishi humcha bwana wake; basi, kama mimi ni baba yenu, heshima yangu iko wapi? Na kama mimi ni bwana wenu, kicho changu ki wapi? BWANA wa majeshi awauliza ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau jina langu. Nanyi mwasema, Tumelidharau jina lako kwa jinsi gani?


Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufungulie.


Akaja na yule aliyepokea talanta moja, akasema, Bwana, nilitambua ya kuwa wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya;


Ndipo hao pia watajibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona wewe ukiwa na njaa, au ukiwa na kiu, au ukiwa mgeni, au ukiwa uchi, au ukiwa mgonjwa, au ukiwa kifungoni, tusikuhudumie?


Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo