Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:4 - Swahili Revised Union Version

Wakaenda zao, wakamwona mwanapunda amefungwa penye mlango, nje katika njia kuu, wakamfungua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakaenda, wakamkuta mwanapunda barabarani amefungwa mlangoni. Walipokuwa wakimfungua,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakaenda, wakamkuta mwanapunda barabarani amefungwa mlangoni. Walipokuwa wakimfungua,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakaenda, wakamkuta mwanapunda barabarani amefungwa mlangoni. Walipokuwa wakimfungua,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakaenda, wakampata mwana-punda amefungwa kando ya barabara, karibu na mlango wa nyumba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakaenda, wakamkuta mwana-punda amefungwa kando ya barabara, karibu na mlango wa nyumba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakaenda zao, wakamwona mwanapunda amefungwa penye mlango, nje katika njia kuu, wakamfungua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nendeni katika kijiji kile kinachowakabili, na mara mtaona punda amefungwa, na mwanapunda pamoja naye; wafungueni mniletee.


Wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaiandaa Pasaka.


Na mtu akiwaambia, Mbona mnafanya hivi? Semeni, Bwana anamhitaji na mara atamrudisha tena hapa.


Baadhi ya watu waliosimama huko wakawaambia, Mnafanya nini kumfungua mwanapunda?


Mamaye akawaambia watumishi, Lolote atakalowaambia, fanyeni.


Kwa imani Abrahamu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako.