Waebrania 11:8 - Swahili Revised Union Version8 Kwa imani Abrahamu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa imani Ibrahimu, alipoitwa aende mahali Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakoenda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa imani Ibrahimu, alipoitwa aende mahali ambapo Mwenyezi Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakokwenda. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Kwa imani Abrahamu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako. Tazama sura |