Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 11:5 - Swahili Revised Union Version

5 Baadhi ya watu waliosimama huko wakawaambia, Mnafanya nini kumfungua mwanapunda?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwanapunda?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwanapunda?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwanapunda?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua huyo mwana-punda?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Mna maana gani mnapomfungua huyo mwana-punda?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Baadhi ya watu waliosimama huko wakawaambia, Mnafanya nini kumfungua mwanapunda?

Tazama sura Nakili




Marko 11:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nendeni katika kijiji kile kinachowakabili, na mara mtaona punda amefungwa, na mwanapunda pamoja naye; wafungueni mniletee.


Wakaenda zao, wakamwona mwanapunda amefungwa penye mlango, nje katika njia kuu, wakamfungua.


Wakawaambia kama Yesu alivyowaagiza, nao wakawaruhusu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo