Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:26 - Swahili Revised Union Version

Nao wakashangaa mno, wakimwambia, Ni nani, basi, awezaye kuokoka?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wake wakashangaa sana wakaulizana, “Ni nani basi, atakayeweza kuokoka?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wake wakashangaa sana wakaulizana, “Ni nani basi, atakayeweza kuokoka?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wake wakashangaa sana wakaulizana, “Ni nani basi, atakayeweza kuokoka?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wake wakashangaa sana. Wakaulizana wao kwa wao, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wake wakashangaa sana. Wakaulizana wao kwa wao, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wakashangaa mno, wakimwambia, Ni nani, basi, awezaye kuokoka?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.


Yesu akawakazia macho, akasema, Kwa wanadamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo; maana yote yawezekana kwa Mungu.


Akapanda mle katika mashua walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana mioyoni mwao;


wakashangaa mno kupita kiasi, wakinena, Ametenda mambo yote vema; viziwi awafanya wasikie, na bubu waseme.


Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,


Nao waliosikia walisema, Ni nani basi awezaye kuokoka?


Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.


Wao ni wahudumu wa Kristo? (Nanena kiwazimu), mimi ni zaidi; katika taabu kuzidi sana; katika vifungo kuzidi sana; katika mapigo kupita kiasi; katika mauti mara nyingi.