Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:26 - Swahili Revised Union Version

26 Nao waliosikia walisema, Ni nani basi awezaye kuokoka?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Wale watu waliposikia hayo, wakasema, “Nani basi, atakayeokolewa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Wale watu waliposikia hayo, wakasema, “Nani basi, atakayeokolewa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Wale watu waliposikia hayo, wakasema, “Nani basi, atakayeokolewa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wale waliosikia haya wakauliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wale waliosikia haya wakauliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Nao waliosikia walisema, Ni nani basi awezaye kuokoka?

Tazama sura Nakili




Luka 18:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,


Kwa maana ni rahisi ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.


Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo