Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:27 - Swahili Revised Union Version

27 Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Isa akajibu, “Yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Isa akajibu, “Yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.

Tazama sura Nakili




Luka 18:27
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA? Kwa muhula wake nitakurudia, wakati huu huu mwakani, na Sara atapata mwana wa kiume.


Najua ya kuwa waweza kufanya mambo yote, Na ya kuwa makusudi yako hayawezi kuzuilika.


Aa! Bwana MUNGU, tazama, wewe umeziumba mbingu na nchi, kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa; hapana neno lililo gumu usiloliweza;


na watu wote wanaokaa duniani wamehesabiwa kuwa si kitu, naye hufanya kama atakavyo, katika jeshi la mbinguni, na katika hao wanaokaa duniani; wala hapana awezaye kuuzuia mkono wake, wala kumwuliza, Unafanya nini wewe?


BWANA wa majeshi asema hivi, Ingawa hili ni neno lililo gumu mbele ya macho ya mabaki ya watu hawa katika siku hizo, je, litakuwa neno gumu mbele ya macho yangu? Asema BWANA wa majeshi.


Yesu akawakazia macho, akawaambia, Kwa wanadamu hilo haliwezekani; bali kwa Mungu yote yawezekana.


kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.


Nao waliosikia walisema, Ni nani basi awezaye kuokoka?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo