Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 13:23 - Swahili Revised Union Version

23 Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mtu mmoja akamuuliza, “Bwana Isa, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Isa akawaambia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mtu mmoja akamuuliza, “Bwana Isa, ni watu wachache tu watakaookolewa?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,

Tazama sura Nakili




Luka 13:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wanafunzi waliposikia, walishangaa mno, wakisema, Ni nani basi awezaye kuokoka?


Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.


Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.


Bali mlango ni mwembamba, na njia imebana iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.


Naye alikuwa akipita katika miji na vijiji, akifundisha, katika safari yake kwenda Yerusalemu.


Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo