Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 1:18 - Swahili Revised Union Version

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara wakaacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara wakaacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 1:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.


Yesu akawaambia, Njooni mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.


Akaendelea mbele kidogo, akamwona Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye, nao pia walikuwa katika mashua, wakizitengeneza nyavu zao.


Basi, kadhalika kila mmoja wenu asiyeacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Hata walipokwisha kuziegesha mashua zao pwani, wakaacha vyote wakamfuata.


Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi wa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo;