Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 5:9 - Swahili Revised Union Version

Twapata chakula kwa kujihatarisha nafsi zetu; Kwa sababu ya upanga wa nyikani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Chakula chetu twapata kwa kuhatarisha maisha yetu, maana wauaji wanazurura huko mashambani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Chakula chetu twapata kwa kuhatarisha maisha yetu, maana wauaji wanazurura huko mashambani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Chakula chetu twapata kwa kuhatarisha maisha yetu, maana wauaji wanazurura huko mashambani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu ya upanga jangwani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu ya upanga jangwani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Twapata chakula kwa kujihatarisha nafsi zetu; Kwa sababu ya upanga wa nyikani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 5:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Hasha, BWANA, nisifanye hivi; je! Si damu hii ya watu hao waliohatarisha nafsi zao? Kwa hiyo hakukubali kuyanywa. Hayo ndiyo waliyoyafanya wale mashujaa watatu.


kwa sababu ya Wakaldayo; maana waliwaogopa, kwa sababu Ishmaeli, mwana wa Nethania, amemwua Gedalia, mwana wa Ahikamu, ambaye mfalme wa Babeli amemweka kuwa mtawala juu ya nchi.


mkisema, La! Lakini tutakwenda nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita, wala kuisikia sauti ya tarumbeta, wala kuona njaa kwa kukosa chakula; nasi tutakaa huko;


basi, itakuwa, upanga mnaouogopa utawapata huko, katika nchi ya Misri, nayo njaa mnayoiogopa itawafuatia mbio huko Misri, nanyi mtakufa huko.


Malaika wa BWANA akaenda akaketi chini ya mwaloni uliokuwa katika Ofra, uliokuwa mali yake Yoashi, Mwaabiezeri; na mwanawe Gideoni alikuwa akipepeta ngano ndani ya shinikizo, ili kuificha machoni pa Wamidiani.