Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 5:9 - Swahili Revised Union Version

9 Twapata chakula kwa kujihatarisha nafsi zetu; Kwa sababu ya upanga wa nyikani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Chakula chetu twapata kwa kuhatarisha maisha yetu, maana wauaji wanazurura huko mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Chakula chetu twapata kwa kuhatarisha maisha yetu, maana wauaji wanazurura huko mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Chakula chetu twapata kwa kuhatarisha maisha yetu, maana wauaji wanazurura huko mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu ya upanga jangwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu ya upanga jangwani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Twapata chakula kwa kujihatarisha nafsi zetu; Kwa sababu ya upanga wa nyikani.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 5:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Hasha, BWANA, nisifanye hivi; je! Si damu hii ya watu hao waliohatarisha nafsi zao? Kwa hiyo hakukubali kuyanywa. Hayo ndiyo waliyoyafanya wale mashujaa watatu.


kwa sababu ya Wakaldayo; maana waliwaogopa, kwa sababu Ishmaeli, mwana wa Nethania, amemwua Gedalia, mwana wa Ahikamu, ambaye mfalme wa Babeli amemweka kuwa mtawala juu ya nchi.


mkisema, La! Lakini tutakwenda nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita, wala kuisikia sauti ya tarumbeta, wala kuona njaa kwa kukosa chakula; nasi tutakaa huko;


basi, itakuwa, upanga mnaouogopa utawapata huko, katika nchi ya Misri, nayo njaa mnayoiogopa itawafuatia mbio huko Misri, nanyi mtakufa huko.


Malaika wa BWANA akaenda akaketi chini ya mwaloni uliokuwa katika Ofra, uliokuwa mali yake Yoashi, Mwaabiezeri; na mwanawe Gideoni alikuwa akipepeta ngano ndani ya shinikizo, ili kuificha machoni pa Wamidiani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo