Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 5:20 - Swahili Revised Union Version

Mbona watusahau sikuzote; Na kutuacha muda huu mwingi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mbona umetuacha muda mrefu hivyo? Mbona umetutupa siku nyingi hivyo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mbona umetuacha muda mrefu hivyo? Mbona umetutupa siku nyingi hivyo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mbona umetuacha muda mrefu hivyo? Mbona umetutupa siku nyingi hivyo?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa nini watusahau siku zote? Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa nini watusahau siku zote? Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mbona watusahau siku zote; Na kutuacha muda huu mwingi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 5:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, utanisahau hadi lini, hata milele? Hadi lini utanificha uso wako?


Nitakuwa na wasiwasi rohoni mwangu hadi lini, Nikihuzunika moyoni mchana kutwa? Adui yangu atatukuka juu yangu hadi lini?


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Mbona unatuficha uso wako, Na kusahau kuonewa na kudhulumiwa kwetu?


Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako?


Ee BWANA, hadi lini? Utaona hasira milele? Wivu wako utawaka kama moto?


Je! Utatufanyia hasira hata milele? Utadumisha ghadhabu kizazi hadi kizazi?


Hadi lini, Ee BWANA? Utajificha hata milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hadi lini?


Bali Sayuni alisema, YEHOVA ameniacha, Bwana amenisahau.


Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu; hawatanyamaza mchana wala usiku; ninyi wenye kumkumbusha BWANA, msiwe na kimya;


Kwa nini wewe umekuwa kama mtu aliyeshtuka, kama shujaa asiyeweza kuokoa? Lakini wewe, BWANA, u katikati yetu, nasi tunaitwa kwa jina lako; usituache.