Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:8 - Swahili Revised Union Version

Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ingawa naita na kulilia msaada anaizuia sala yangu isimfikie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ingawa naita na kulilia msaada anaizuia sala yangu isimfikie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ingawa naita na kulilia msaada anaizuia sala yangu isimfikie.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada, anakataa kupokea maombi yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada, anakataa kupokea maombi yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, nalia, Udhalimu, lakini sisikiwi; Naulilia msaada, wala hapana hukumu.


Nakulilia wewe, wala huniitikii; Nasimama, nawe wanitazama tu.


Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha.


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, hadi lini Utayaghadhibikia maombi ya watu wako?


Umetufunika kwa hasira na kutufuatia; Umeua, wala hukuona huruma.


Umejifunika nafsi yako kwa wingu, Maombi yetu yasipite.


Ee BWANA, nilie hadi lini, wewe usitake kusikia? Nakulilia kwa sababu ya udhalimu, ila hutaki kuokoa.


Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?


Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.