Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:61 - Swahili Revised Union Version

Ee BWANA, umeyasikia matukano yao, Na mashauri yao yote juu yangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Umesikia matukano yao ee Mwenyezi-Mungu, na mipango yao yote ya hila dhidi yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Umesikia matukano yao ee Mwenyezi-Mungu, na mipango yao yote ya hila dhidi yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Umesikia matukano yao ee Mwenyezi-Mungu, na mipango yao yote ya hila dhidi yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mwenyezi Mungu, umesikia matukano yao, mashauri yao yote mabaya dhidi yangu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee bwana, umesikia matukano yao, mashauri yao yote mabaya dhidi yangu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee BWANA, umeyasikia matukano yao, Na mashauri yao yote juu yangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:61
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, uyakumbuke hayo, adui amelaumu, Na watu wapumbavu wamelidharau jina lako.


Ukumbuke, Ee Bwana, Wanavyosimangwa watumishi wako; Jinsi ninavyostahimili kifuani mwangu Masimango ya watu wengi.


Lakini wewe, BWANA, unajua mashauri yao yote juu yangu, ya kuniua; usiwasamehe uovu wao, wala usifute dhambi yao mbele za macho yako; bali wakwazwe mbele zako; uwatende mambo wakati wa hasira yako.


Na amwelekezee yule ampigaye shavu lake; Ashibishwe mashutumu.


Ee BWANA, kumbuka yaliyotupata; Utazame na kuiona aibu yetu.


Mimi nimeyasikia masuto ya Moabu, na dhihaka za wana wa Amoni, ambazo kwa hizo wamewatukana watu wangu, na kujitukuza juu ya mpaka wao. 21:28-32; 25:1-11; Amo 1:13-15