Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:16 - Swahili Revised Union Version

Amenivunja meno kwa changarawe; Amenifunika majivu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amenisagisha meno katika mawe, akanifanya nigaegae majivuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amenisagisha meno katika mawe, akanifanya nigaegae majivuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amenisagisha meno katika mawe, akanifanya nigaegae majivuni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amevunja meno yangu kwa changarawe, amenikanyagia mavumbini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amevunja meno yangu kwa changarawe, amenikanyagia mavumbini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amenivunja meno kwa changarawe; Amenifunika majivu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akashika kigae cha kujikunia; akaketi majivuni.


Kunguruma kwake simba, na sauti ya simba mkali, Na meno ya simba wachanga, yamevunjika.


Maana ninakula majivu kama chakula, Na kukichanganya kinywaji changu na machozi.


BWANA, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.


Ee Mungu, uyavunje meno yao vinywani mwao; Ee BWANA, uyavunje magego ya wanasimba.


Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe.


Ee binti wa watu wangu, ujivike nguo ya magunia, na kugaagaa katika majivu; fanya maombolezo, kama maombolezo kwa ajili ya mwana wa pekee, maombolezo ya uchungu mwingi; maana mwenye kuteka nyara atakuja juu yetu ghafla.


Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za magunia, na kuketi katika majivu.


Au kuna mtu yupi kwenu, ambaye, mwanawe akimwomba mkate, atampa jiwe?


Maana ni yupi kwenu aliye baba, ambaye mwanawe akimwomba mkate, atampa jiwe au akimwomba samaki, badala ya samaki atampa nyoka?