Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:15 - Swahili Revised Union Version

15 Amenijaza uchungu, Amenikinaisha kwa pakanga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Amenijaza taabu, akanishibisha uchungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Amenijaza taabu, akanishibisha uchungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Amenijaza taabu, akanishibisha uchungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Amenijaza kwa majani machungu na kunishibisha kwa nyongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Amenijaza kwa majani machungu na kunishibisha kwa nyongo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Amenijaza uchungu, Amenikinaisha kwa pakanga.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Haniachi nipate kuvuta pumzi, Lakini hunijaza uchungu.


Umewaonesha watu wako mazito, Na kutunywesha mvinyo ya kutuyumbisha.


Nimehesabiwa pamoja nao washukao shimoni; Nimekuwa kama mtu asiye na msaada.


Basi BWANA wa majeshi asema hivi, kuhusu habari ya manabii, Tazama, nitawalisha pakanga, nitawanywesha maji ya uchungu; kwa kuwa kutoka kwa manabii hao wa Yerusalemu kukufuru kumeingia katika nchi yote.


Nawe utawaambia hivi, BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nyweni, na kulewa, na kutapika, na kuanguka msiinuke tena, kwa sababu ya upanga nitakaoutuma kati yenu.


Njia yako na matendo yako yamekupatia haya; huu ndio uovu wako; kwa maana ni uchungu, hakika unafikia hata moyo wako.


bali wameenda katika ushupavu wa mioyo yao wenyewe, na kuandamana na Mabaali, kama walivyofundishwa na baba zao.


Basi, BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazama, nitawalisha pakanga, naam, watu hawa, nami nitawapa maji yenye sumu wayanywe.


Kumbuka mateso yangu, na msiba wangu, Pakanga na nyongo.


Akawaambia, Msiniite Naomi, niiteni Mara kwa sababu Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo