Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:17 - Swahili Revised Union Version

17 Umeniweka nafsi yangu mbali na amani; Nikasahau kufanikiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Moyo wangu haujui tena amani, kwangu furaha ni kitu kigeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Moyo wangu haujui tena amani, kwangu furaha ni kitu kigeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Moyo wangu haujui tena amani, kwangu furaha ni kitu kigeni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Amani yangu imeondolewa, nimesahau kufanikiwa ni nini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Amani yangu imeondolewa, nimesahau kufanikiwa ni nini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Umeniweka nafsi yangu mbali na amani; Nikasahau kufanikiwa.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:17
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha kutakuja miaka saba ya njaa baada yake; na shibe ile yote itasahauliwa katika nchi ya Misri, na njaa itaiharibu nchi.


Kumbuka ya kwamba maisha yangu ni upepo; Jicho langu halitaona mema tena.


Wokovu u mbali na wasio haki, Kwa maana hawajifunzi amri zako.


Tazama; nilikuwa na uchungu mwingi kwa ajili ya amani yangu; Lakini kwa kunipenda umeniokoa kutoka kwa shimo la uharibifu; Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma yako.


Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondoka kwako, wala agano langu la amani halitaondolewa; asema BWANA akurehemuye.


Sisi sote twanguruma kama dubu; twaomboleza kama hua; twatazamia hukumu ya haki, lakini hapana; na wokovu, lakini u mbali nasi.


Watekao nyara wamepanda juu ya vilele vya milima katika nyika; kwa maana upanga wa BWANA utaangamiza toka upande mmoja wa nchi hata upande wa pili wa nchi; hapana mwenye mwili atakayekuwa na amani.


Je! Umemkataa Yuda kabisa? Roho yako imeichukia Sayuni? Mbona umetupiga, tusiwe na dawa ya kutuponya? Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yoyote, tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!


Maana BWANA asema hivi, Usiingie ndani ya nyumba yenye matanga, wala usiende kuwaombolezea, wala kuwalilia; maana nimewaondolea watu hawa amani yangu, asema BWANA, hata fadhili zangu na rehema zangu.


Tulitazamia amani, lakini hayakuja mema yoyote; tulitazamia wakati wa kupona, na tazama, kufadhaika tu!


Mimi ninayalilia mambo hayo; Jicho langu, jicho langu linachuruzika machozi; Kwa kuwa mfariji yuko mbali nami, Ambaye ilimpasa kunihuisha nafsi; Watoto wangu wameachwa peke yao, Kwa sababu huyo adui ameshinda.


Maana kabla ya siku zile hapakuwa na ijara kwa mwanadamu, wala hapakuwa na ijara kwa mnyama; wala hapakuwa na amani kwake yeye aliyetoka, wala kwake yeye aliyeingia, kwa sababu ya adui; nami nilimwacha kila mtu kugombana na jirani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo