Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:13 - Swahili Revised Union Version

Amenichoma viuno Kwa mishale ya podo lake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alinichoma moyoni kwa mishale, kutoka katika podo lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alinichoma moyoni kwa mishale, kutoka katika podo lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alinichoma moyoni kwa mishale, kutoka katika podo lake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alinichoma moyo wangu kwa mishale iliyotoka kwenye podo lake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alinichoma moyo wangu kwa mishale iliyotoka kwenye podo lake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amenichoma viuno Kwa mishale ya podo lake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mshale hauwezi kumkimbiza; Na mawe ya teo kwake hugeuka kuwa kama makapi.


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Podo lao ni kaburi wazi, ni mashujaa wote pia.


Ameupinda upinde wake kama adui, Amesimama na mkono wake wa kulia kama mtesi; Naye amewaua hao wote Waliopendeza macho; Katika hema ya binti Sayuni Amemimina ghadhabu yake kama moto.


Nitaweka madhara juu yao chungu chungu; Nitawapiga kwa mishale yangu hata ikaishe;