Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 5:16 - Swahili Revised Union Version

16 Podo lao ni kaburi wazi, ni mashujaa wote pia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Mishale yao husambaza kifo; wote ni mashujaa wa vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Mishale yao husambaza kifo; wote ni mashujaa wa vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Mishale yao husambaza kifo; wote ni mashujaa wa vita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Podo lao ni kama kaburi lililo wazi, wote ni mashujaa hodari.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Podo zao ni kama kaburi lililo wazi, wote ni mashujaa hodari wa vita.

Tazama sura Nakili




Yeremia 5:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana vinywani mwao hamna uaminifu; Moyo wao ni shimo tupu, koo lao ni kaburi wazi, Ulimi wao hujipendekeza.


Na nyuta zao zitawaangusha vijana; wala hawatahurumia mazao ya tumbo; jicho lao halitawahurumia watoto.


Mishale yao ni mikali, na pinde zao zote zimepindika; Kwato za farasi wao zitahesabika kama gumegume; Na gurudumu zao kama kisulisuli;


BWANA asema hivi, Tazama, watu wanakuja, wakitoka katika nchi ya kaskazini; na taifa kubwa litaamshwa, litokalo katika pande za mwisho wa dunia.


Washika upinde na mkuki; ni wakatili, hawana huruma; sauti yao huvuma kama bahari, nao wamepanda farasi wao; kila mmoja kama mtu wa vita amejipanga juu yako, Ee binti Sayuni.


Amenichoma viuno Kwa mishale ya podo lake.


Koo lao ni kaburi wazi, Kwa ndimi zao wametumia hila. Sumu ya fira iko chini ya midomo yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo