Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:13 - Swahili Revised Union Version

13 Amenichoma viuno Kwa mishale ya podo lake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Alinichoma moyoni kwa mishale, kutoka katika podo lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Alinichoma moyoni kwa mishale, kutoka katika podo lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Alinichoma moyoni kwa mishale, kutoka katika podo lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Alinichoma moyo wangu kwa mishale iliyotoka kwenye podo lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Alinichoma moyo wangu kwa mishale iliyotoka kwenye podo lake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Amenichoma viuno Kwa mishale ya podo lake.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mshale hauwezi kumkimbiza; Na mawe ya teo kwake hugeuka kuwa kama makapi.


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Podo lao ni kaburi wazi, ni mashujaa wote pia.


Ameupinda upinde wake kama adui, Amesimama na mkono wake wa kulia kama mtesi; Naye amewaua hao wote Waliopendeza macho; Katika hema ya binti Sayuni Amemimina ghadhabu yake kama moto.


Nitaweka madhara juu yao chungu chungu; Nitawapiga kwa mishale yangu hata ikaishe;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo