Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 9:4 - Swahili Revised Union Version

Na nyumba yoyote mtakayoingia kaeni humo, mpaka mtoke mjini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika nyumba yoyote mwingiayo, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika nyumba yoyote mwingiayo, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na nyumba yoyote mtakayoingia kaeni humo, mpaka mtoke mjini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 9:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na mji wowote au kijiji chochote mtakachoingia, tafuteni ni nani humo aliye mtu mwaminifu; mkae kwake hadi mtakapotoka.


Akawaambia, Mahali popote mtakapoingia katika nyumba, kaeni humo hadi mtakapotoka mahali pale.


Akawaambia, Msichukue kitu kwa safari yenu, fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala fedha, wala mmoja wenu asiwe na kanzu mbili.


Na wale wasiowakaribisha, mtokapo katika mji huo, yakung'uteni hata mavumbi ya miguuni mwenu, kuwa ushuhuda juu yao.


Hata alipokwisha kubatizwa, yeye na nyumba yake, akatusihi, akisema, Kama mmeniona kuwa mwaminifu kwa Bwana, ingieni nyumbani mwangu mkakae. Akatusihi sana.