Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 10:11 - Swahili Revised Union Version

11 Na mji wowote au kijiji chochote mtakachoingia, tafuteni ni nani humo aliye mtu mwaminifu; mkae kwake hadi mtakapotoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 “Mkiingia katika mji wowote au kijiji, tafuteni humo mtu anayestahili kutembelewa, na kaeni huko mpaka mtakapoondoka mahali hapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 “Mkiingia katika mji wowote au kijiji, tafuteni humo mtu anayestahili kutembelewa, na kaeni huko mpaka mtakapoondoka mahali hapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 “Mkiingia katika mji wowote au kijiji, tafuteni humo mtu anayestahili kutembelewa, na kaeni huko mpaka mtakapoondoka mahali hapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 “Mji wowote au kijiji chochote mtakapoingia, tafuteni humo mtu anayestahili, nanyi kaeni kwake hadi mtakapoondoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 “Mji wowote au kijiji chochote mtakapoingia, tafuteni humo mtu anayestahili, nanyi kaeni kwake mpaka mtakapoondoka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Na mji wowote au kijiji chochote mtakachoingia, tafuteni ni nani humo aliye mtu mwaminifu; mkae kwake hadi mtakapotoka.

Tazama sura Nakili




Mathayo 10:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mgeni hakulala njiani; Lakini nilimfungulia msafiri milango yangu;


wala mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala viatu, wala fimbo; maana mfanyakazi astahili posho yake.


Nanyi mkiingia katika nyumba isalimuni.


Akawaambia, Mahali popote mtakapoingia katika nyumba, kaeni humo hadi mtakapotoka mahali pale.


Hata watu walipoona, walinung'unika wote, wakisema, Ameingia kukaa kwa mtu mwenye dhambi.


Na nyumba yoyote mtakayoingia kaeni humo, mpaka mtoke mjini.


Hata alipokwisha kubatizwa, yeye na nyumba yake, akatusihi, akisema, Kama mmeniona kuwa mwaminifu kwa Bwana, ingieni nyumbani mwangu mkakae. Akatusihi sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo