Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 8:9 - Swahili Revised Union Version

Wanafunzi wake wakamwuliza, Maana yake nini mfano huo?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wake Yesu wakamwuliza maana ya mfano huo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wake Yesu wakamwuliza maana ya mfano huo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wake Yesu wakamwuliza maana ya mfano huo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanafunzi wake wakamwuliza, Maana yake nini mfano huo?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 8:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua BWANA; kutokea kwake ni yakini kama asubuhi; naye atatujia kama mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi.


Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?


Basi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.


Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.


Basi Petro akajibu, akamwambia, Tueleze mfano huo.


Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Kumi na Wawili, walimwuliza kuhusu ile mifano.


wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.


Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.