Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 8:6 - Swahili Revised Union Version

Nyingine zikaanguka penye mwamba; zilipoanza kumea zikakauka kwa kukosa rutuba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mbegu nyingine zilianguka penye miamba, nazo zilipoota, hiyo mimea ikakauka kwa kukosa unyevu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mbegu nyingine zilianguka penye miamba, nazo zilipoota, hiyo mimea ikakauka kwa kukosa unyevu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nyingine zikaanguka penye mwamba; zilipoanza kumea zikakauka kwa kukosa rutuba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 8:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, macho yako je! Hayaangalii uaminifu? Umewapiga, lakini hawakuhuzunika; umewakomesha, lakini wamekataa kurudiwa wamefanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba wamekataa kurudi.


Nami nitawapa moyo mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao; nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika miili yao, nami nitawapa moyo wa nyama;


Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama.


Je! Farasi watapiga mbio juu ya mwamba? Je! Mtu atalima kwa plau na ng'ombe baharini? Hata mmegeuza hukumu kuwa sumu, na matunda ya haki kuwa uchungu;


Na wale penye mwamba ndio wale ambao wasikiapo hulipokea lile neno kwa furaha; nao hawana mizizi, huamini kitambo kidogo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.


Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake; naye alipokuwa akizipanda, nyingine zilianguka karibu na njia, zikakanyagwa, ndege wa angani wakazila.


Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.


kama inenwavyo, Leo, kama mkisikia sauti yake, Msifanye mioyo yenu kuwa migumu, Kama wakati wa kuasi.