Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 8:53 - Swahili Revised Union Version

Wakamcheka sana, maana walijua ya kuwa amekwisha kufa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wao wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekwisha kufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wao wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekwisha kufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamcheka sana, maana walijua ya kuwa amekwisha kufa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 8:53
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni mtu wa kuchekwa na jirani yake, Ni mtu niliyemwita Mungu, naye akanijibu; Huyo mwenye haki, aliye mtimilifu, amekuwa ni kicheko.


Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka, Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.


Wote wanionao hunicheka sana, Hunifyonya, wakitikisa vichwa vyao;


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


akawaambia, Ondokeni; kwa maana msichana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.


Basi Mafarisayo, ambao wenyewe ni wapenda fedha, waliyasikia hayo yote, wakamdhihaki.


Na watu wote walikuwa wakilia na kumwombolezea; akasema, Msilie, hakufa huyu, bali amelala usingizi tu.


Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.


Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana, ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne.