Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 8:11 - Swahili Revised Union Version

Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Basi, maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Basi, maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 8:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Basi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.


Kila mtu alisikiapo neno la ufalme bila kulielewa, huja yule mwovu, akalinyakua lililopandwa moyoni mwake. Huyo ndiye aliyepandwa karibu na njia.


Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi mifano yote mtaitambuaje?


Wale wa karibu na njia ndio wasikiao, kisha huja Ibilisi akaliondoa hilo neno mioyoni mwao, wasije wakaamini na kuokoka.


Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa roho zenu.