Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 7:31 - Swahili Revised Union Version

Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 7:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nikushuhudie nini? Nikufananishe na nini, Ee Binti Yerusalemu? Nikulinganishe na nini, nipate kukufariji, Ee bikira binti Sayuni? Kwa maana uvunjifu wako ni mkuu kama bahari, Ni nani awezaye kukuponya?


Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;


Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?


Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.


Wamefanana na watoto walioketi sokoni na kuitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.