Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 7:32 - Swahili Revised Union Version

32 Wamefanana na watoto walioketi sokoni na kuitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: ‘Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: ‘Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: ‘Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Wao ni kama watoto waliokaa sokoni wakiitana wao kwa wao, wakisema: “ ‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza; tuliwaimbia nyimbo za maombolezo, lakini hamkulia.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Wao ni kama watoto waliokaa sokoni wakiitana wao kwa wao, wakisema: “ ‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza; tuliwaimbia nyimbo za maombolezo, lakini hamkulia.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Wamefanana na watoto walioketi sokoni na kuitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.

Tazama sura Nakili




Luka 7:32
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Na hizo njia za mji zitajaa wavulana, na wasichana, wakicheza katika njia zake.


Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;


Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?


Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuja, hali mkate wala hanywi divai, nanyi mwasema, Ana pepo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo