Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 7:31 - Swahili Revised Union Version

31 Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Isa akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Isa akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?

Tazama sura Nakili




Luka 7:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nikushuhudie nini? Nikufananishe na nini, Ee Binti Yerusalemu? Nikulinganishe na nini, nipate kukufariji, Ee bikira binti Sayuni? Kwa maana uvunjifu wako ni mkuu kama bahari, Ni nani awezaye kukuponya?


Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;


Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?


Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.


Wamefanana na watoto walioketi sokoni na kuitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo