Luka 7:31 - Swahili Revised Union Version31 Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Yesu akaendelea kusema, “Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Isa akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Isa akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini? Tazama sura |