Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:4 - Swahili Revised Union Version

Yesu akamjibu, Imeandikwa ya kwamba mtu hataishi kwa mkate tu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akajibu akamwambia, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akamjibu, Imeandikwa ya kwamba mtu hataishi kwa mkate tu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako.


Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Waache watoto wako wasio na baba, mimi nitawahifadhi hai, na wajane wako na wanitumaini mimi.


Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.


Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?


Akawauliza, Je! Hapo nilipowatuma hamna mfuko, wala mkoba, wala viatu, mlipungukiwa na kitu? Wakasema, La!


kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake wakulinde;


Ibilisi akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, liambie jiwe hili liwe mkate.


Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.


Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;


Akakunyenyekeza, akakuacha uone njaa, akakulisha kwa mana, usiyoijua wewe wala baba zako hawakuijua; apate kukujulisha ya kuwa mwanadamu haishi kwa mkate tu, bali huishi kwa kila litokalo katika kinywa cha BWANA.