Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 4:10 - Swahili Revised Union Version

10 kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake wakulinde;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 kwa maana imeandikwa: ‘Atawaamuru malaika wake wakulinde,’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 kwa maana imeandikwa: ‘Atawaamuru malaika wake wakulinde,’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 kwa maana imeandikwa: ‘Atawaamuru malaika wake wakulinde,’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 kwa maana imeandikwa: “ ‘Atakuagizia malaika wake ili wakulinde kwa uangalifu;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 kwa maana imeandikwa: “ ‘Atakuagizia malaika zake ili wakulinde;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake wakulinde;

Tazama sura Nakili




Luka 4:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

na ya kwamba, Mikononi mwao watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.


Ibilisi akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, liambie jiwe hili liwe mkate.


Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.


Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.


Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo