Mathayo 6:31 - Swahili Revised Union Version31 Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 “Basi, msiwe na wasiwasi: ‘Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 “Basi, msiwe na wasiwasi: ‘Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 “Basi, msiwe na wasiwasi: ‘Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ au ‘Tutakunywa nini?’ au ‘Tutavaa nini?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ Au ‘Tutakunywa nini?’ Au ‘Tutavaa nini?’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini? Tazama sura |