Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:9 - Swahili Revised Union Version

Akamwuliza maneno mengi, yeye asimjibu lolote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Herode akamuuliza maswali mengi, lakini Isa hakumjibu lolote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Herode akamuuliza maswali mengi, lakini Isa hakumjibu lolote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwuliza maneno mengi, yeye asimjibu lolote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nimenyamaza, sifumbui kinywa changu, Maana Wewe ndiwe uliyeyafanya.


Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.


Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.


Asimjibu hata neno moja, hata mtawala akastaajabu sana.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.


Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilisha kazi yangu.


Wakuu wa makuhani na waandishi wakasimama wakamshitaki kwa nguvu sana.


Akaingia tena ndani ya ile Praitorio, akamwambia Yesu, Wewe umetoka wapi? Lakini Yesu hakumpa jibu lolote.


Na fungu la Maandiko alilokuwa akilisoma ni hili, Aliongozwa kwenda machinjoni kama kondoo, Na kama vile mwana-kondoo alivyo kimya mbele yake yule amkataye manyoya, Vivyo hivyo yeye naye hafunui kinywa chake.


Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki.