Luka 23:10 - Swahili Revised Union Version10 Wakuu wa makuhani na waandishi wakasimama wakamshitaki kwa nguvu sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Makuhani wakuu na waalimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Makuhani wakuu na waalimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Makuhani wakuu na waalimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Wakati huo viongozi wa makuhani na walimu wa Torati walikuwa wakitoa mashtaka yao kwa nguvu sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Wakati huo viongozi wa makuhani na walimu wa Torati walikuwepo wakitoa mashtaka yao kwa nguvu sana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Wakuu wa makuhani na waandishi wakasimama wakamshitaki kwa nguvu sana. Tazama sura |