Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:21 - Swahili Revised Union Version

Lakini wakapiga kelele, wakisema, Msulubishe. Msulubishe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini wao wakaendelea kupiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini wao wakaendelea kupiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wakapiga kelele, wakisema, Msulubishe. Msulubishe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakapiga kelele tena, Msulubishe.


Basi Pilato alisema nao mara ya pili, kwa vile alivyotaka kumfungua Yesu.


Akawaambia mara ya tatu, Kwa sababu gani? Huyu ametenda uovu gani? Sikuona kwake hata neno lipasalo kufa. Basi nikiisha kumrudi nitamfungua.


Lakini wakatoa sauti zao kwa nguvu sana, wakitaka asulubiwe. Sauti zao zikashinda.


Basi wale wakapiga kelele, Mwondoshe! Mwondoshe! Msulubishe! Pilato akawaambia, Je! Nimsulubishe mfalme wenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, Sisi hatuna mfalme ila Kaisari.


Na ijapokuwa hawakuona sababu ya kumwua wakamwomba Pilato auawe.