Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 13:28 - Swahili Revised Union Version

28 Na ijapokuwa hawakuona sababu ya kumwua wakamwomba Pilato auawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Ijapokuwa hawakupata sababu yoyote ya kumhukumu kifo, walimwomba Pilato aamuru auawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Ijapokuwa hawakupata sababu yoyote ya kumhukumu kifo, walimwomba Pilato aamuru auawe.

Tazama sura Nakili




Matendo 13:28
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.


Pilato akamwambia, Kweli ni nini? Naye akiisha kusema neno hilo akawatokea Wayahudi tena, akawaambia, Mimi sioni hatia yoyote kwake.


Kisha Pilato akatokea tena nje, akawaambia, Mtu huyu namleta nje kwenu, mpate kufahamu ya kuwa mimi sioni hatia yoyote kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo