Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:10 - Swahili Revised Union Version

Wakuu wa makuhani na waandishi wakasimama wakamshitaki kwa nguvu sana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Makuhani wakuu na waalimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Makuhani wakuu na waalimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Makuhani wakuu na waalimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati huo viongozi wa makuhani na walimu wa Torati walikuwa wakitoa mashtaka yao kwa nguvu sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati huo viongozi wa makuhani na walimu wa Torati walikuwepo wakitoa mashtaka yao kwa nguvu sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakuu wa makuhani na waandishi wakasimama wakamshitaki kwa nguvu sana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.


Alipotoka humo, Waandishi na Mafarisayo walianza kumsonga vibaya, na kumchokoza kwa maswali mengi,


Basi Herode akamdhalilisha, pamoja na askari wake, akamdhihaki, na kumvika mavazi mazuri; kisha akamrudisha kwa Pilato.


Wakaanza kumshitaki, wakisema, Tumemwona huyu akipotosha taifa letu, na kuwazuia watu wasimpe Kaisari kodi, akisema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo, mfalme.


Nao walisisitiza sana, wakisema, Huwataharakisha watu, akifundisha katika Yudea yote, tokea Galilaya mpaka huku.


Akamwuliza maneno mengi, yeye asimjibu lolote.


Kwa maana tumemwona mtu huyu kuwa mkorofi, mwanzilishi wa fitina katika Wayahudi wote duniani, tena ni kichwa cha madhehebu ya Wanazareti.