Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 21:18 - Swahili Revised Union Version

Lakini hautapotea hata unywele mmoja wa vichwa vyenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini hautapotea hata unywele mmoja wa vichwa vyenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 21:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akajibu, Nakusihi, mfalme na amkumbuke BWANA, Mungu wako, ili mlipiza kisasi cha damu asizidi kuharibu, wasije kumharibu mwanangu. Naye akasema, Aishivyo BWANA, hautaanguka chini hata unywele mmoja wa mwanao.


lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.


Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope basi, bora ninyi kuliko Shomoro wengi.


Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu.


Basi nawasihi mle chakula, maana itakuwa kwa wokovu wenu; kwa maana hapana hata unywele wa kichwa cha mmoja wenu utakaopotea.


Lakini watu wakamwambia Sauli, Je! Atakufa Yonathani, ambaye ndiye aliyeufanya huo wokovu mkuu katika Israeli? Hasha! Kama aishivyo BWANA, hautaanguka chini hata unywele mmoja wa kichwa chake; kwa maana ametenda kazi pamoja na Mungu leo. Hivyo hao watu wakamponya Yonathani, asife.


Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na BWANA, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya kombeo.