Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:42 - Swahili Revised Union Version

Maana, Daudi mwenyewe asema katika kitabu cha Zaburi, Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kulia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Daudi mwenyewe anasema katika Kitabu cha Zaburi: “ ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Daudi mwenyewe anasema katika Kitabu cha Zaburi: “ ‘bwana Mwenyezi alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana, Daudi mwenyewe asema katika kitabu cha Zaburi, Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kulia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:42
12 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Hadi niwaweke adui zako Kuwa kiti cha kuwekea miguu yako.


Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika vitabu vya Manabii na Zaburi.


Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, Kikao chake na kiwe ukiwa, Wala asiwepo mtu mwenye kukaa humo; tena, Usimamizi wake autwae mwingine.


Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke adui zake wote chini ya miguu yake.


Je! Yuko malaika aliyemwambia wakati wowote, Uketi mkono wa kulia Hata nitakapoweka adui zako chini ya nyayo zako?


Kwa hiyo, kama anenavyo Roho Mtakatifu, Leo, kama mkisikia sauti yake,